19 May 2013

NAVY KENZO – CHEZA KIZEMBE

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

19 May 2013

NAVY KENZO – HOLD ME BACK

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

18 May 2013

Shabiki wa Yanga ambaye jina lake halijapatikana alikatwa kidole baada ya jazba kati ya washabiki wa timu za Yanga na Simba zilizopelekea Mashabiki hao kuchapana makonde leo kabla ya mechi kuanza. Tukio hilo lilitokea katika eneo la Mwembe Yanga.

Timu ya Yanga imeonyesha ubingwa kwa kuichapa timu ya Simba mabao 2 kwa 0 huku vituko na vioja vingi vikijili uwanjana ikiwepo kichapo kwa refa..

Listi ya wachezaji wa timu zote mbili ilikuwa ni kama ifuatavyo:

Simba SC :

Juma Kaseja, Nassor Masoud ‘Chollo’, Haruna Shamte, Shomari Kapombe, Mussa Mudde, William Lucian, Mwinyi Kazimoto, Abdallah Seseme, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba na Haruna Chanongo. Sub: Abel Dhaira, Miraji Adam, Ramadhan Singano ‘Messi’, Felix Sunzu, Christopher Edward, Jonas Mkude na Hassan Mkude

Yanga FC :

Ally Mustapha ‘Barthez’, Mbuyu Twite, David Luhende, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kelvin Yondan, Athuman Idd ‘Chuji’, Simon Msuva, Frank Domayo, Didier Kavumbagu, Hamis Kiiza na Haruna Niyonzima. Sub: Said Mohamed, Juma Abdul, Oscar Joshua, Nurdin Bakar, Nizar Khalfan, Said Bahanuz na Jerry Tegete

Ndani ya dakika 8 za mwanzo katika kipindi cha kwanza, vijana wa Jangwani walifanikwa kumchapa Simba SC bao 1. Bao hilo lilipachikwa na Didier Kavumbagu.

Baadaye Mshambuliaji Hamis Kiiza aliipatia Yanga bao la 2 dakika ya 63 baada ya piga nikupige katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Pamoja na kumchinja myama katika mechi hiyo ya kutimiza wajibu (yanga walishatangazwa mabingwa siku kadhaa zilizopita), yanga pia imekabidhiwa kombe lake la ubingwa mbele ya umati wa watazamaji 60,000 waliofurika uwanjani hapo.

Hii ni mara ya 24 kwa yanga kuifunga simba wakati simba imewafunga yang mara 19. Ila hadi sasa simba inaongoza kwa kuifunga yanga kwa mabao mengi, ikiwa ni pamoja na 6-0 na mabao 5-0 ambayo bado yanga hawajajibu mapigo.

17 May 2013

Ikiwa ni mkono mwingine toka label ya Maisha Music, Malfred anakuja na ngoma mpya kabisa ya reggae inayokwenda kwa jina
Pigana, Ikiwa ina ujumbe mzito kwa jamii haswa vijana wa Kisasa. Pata kuusikiliza na ku-Download HAPA http://www.hulkshare.com/9xmms04tm8zk Powered by www.vmgafrica.com

MALFRED – PIGANA

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

17 May 2013

Video mpya ya msanii mwenye asili ya Tanzania anayeishi nchini Australia anaitwa Lil Criszzy.

Kwa info zaidi kuhusu Lil Criszzy
https://twitter.com/intent/user?screen_name=JanBkiwia
http://www.facebook.com/pages/JanB/488977641130002
http://www.janbonline.com/

17 May 2013

LINEX FT WYRE – RIZIKI

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

17 May 2013

Show ya miaka 13 katika muziki ya Lady Jaydee inazidi kupata pigo baada ya TID kuwa msanii mwingine latest kujitoa kwenye show hiyo.

Moja ya sababu anayosema TID ni kuwa ana mkataba mwingine wa show unaolipa zaidi.. Sababu ya pili ni kuwa hataki kuwa katikati ya ugomvi wowote.

Hivi ndivyo alivyoandika TID kwenye ukurasa wake wa Facebook.
“Three reason why i can’t do lady JIDE SHOW ………….No.1 I have better contract pays me better than.
No.2 I really don’t want to be between anybody’s conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari…
No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ……………kama nimekukosea captein na madame kazeni but I have been thru same shit.”

Tayari Linah, Barnaba na Matonya wamejitoa kutumbuiza kwenye show hiyo

16 May 2013

JONNY YES FT ZAHIR ZORRO – MPENZI GUITAR

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

15 May 2013

MWANA FA FT MAN DOJO, DOMOKAYA & K’NJARO BAND – KAMA ZAMANI

Audio clip: Adobe Flash Player (version 9 or above) is required to play this audio clip. Download the latest version here. You also need to have JavaScript enabled in your browser.

Page 12345678910203040...

SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!