KEISHA APATA MTOTO WA KIUME
Posted on 11 March 2011
MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Khadija Shaban anayejulikana kama ‘KEISHA’ amejifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji na kumpa jina la Jam Key.
———–
“Mamshukuru Mungu kwa kujifungua salama na kuweza kubeba dhamana ya kuitwa mama, hii itanifanya nizidi kujituma katika maisha yangu ili mwanangu aweze kuishi maisha mazuri hapo baadaye,” alisema KEISHA.
———-