KEISHA APATA MTOTO WA KIUME
11 March 2011

Posted on 11 March 2011

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Khadija Shaban anayejulikana kama ‘KEISHA’ amejifungua mtoto wa kiume kwa njia ya upasuaji na kumpa jina la Jam Key.
———–
“Mamshukuru Mungu kwa kujifungua salama na kuweza kubeba dhamana ya kuitwa mama, hii itanifanya nizidi kujituma katika maisha yangu ili mwanangu aweze kuishi maisha mazuri hapo baadaye,” alisema KEISHA.
———-
Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!