BEEF: CYRILL VS RAIS WA MASHAROBARO
22 March 2011

Posted on 22 March 2011

SAKATA kati ya Rais wa Masharobaro ‘Bob Junior na msanii Cyrill imechukua nafasi nyingine, baada ya Rais huyo kudai hamfahamu Cyrill.

Kupitia Facebook Cyrill amempa kubwa Bob Junior ambaye pia ni producer anayemiliki studio za Sharobaro Records.

“Inawezekanaje kumtafuta mtu usiemjua?? alafu unafanya interview maelfu wanakusikiliza unasema humjui mtu uliyemuomba aje afanye track na wewe tena kwa kuomba kwelikweli….harufu ya umaaarufu inawaponza watu kama hawa….kweli jamaa ana feli sana na hata kuifanya hiyo Sharobaro ichukuliwe kivingine. Sina bifu na jamaaa nilikua nataka kusolve situation ya miaka mitatu nyuma na yeye ila nimegundua ni vigumu kusolve situation na sh*ga..” Alisema Cyrill.

Sakata hili lilianza baada ya Rais wa Masharobaro alipopigiwa simu na kituo cha Radio cha Clouds Fm na kudai kuwa hamfahamu msanii yoyote anayeitwa Cyrill.

Tags ,
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

One Response

  1. meshack says:

    cyrill achana na shoga uyo atakupotezea mda wako coz anatka awe juu kupitia beef man


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!