WAZEE WA NGWASUMA KWENYE MAANDALIZI YA ALBUM MPYA
28 March 2011

Posted on 28 March 2011

BENDI ya FM Academia “Wazee wa Ngwasuma” imeanza maandalizi ya albamu yao ya mwaka 2012, ambapo itakwenda kwa jina la ”Chuki ya Nini”

Jina la wimbo uliobeba albamu umetungwa na rais wa bendi Nyoshi El Sadaat, huku nyimbo nyingine zitakazokuwemo ndani ya albamu hiyo zimetungwa na wasanii wa bendi hiyo.

Tags ,
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!