NATISHIWA USALAMA WANGU “BOB JUNIOR”
12 April 2011

Posted on 12 April 2011

Bob Junior aka Mr. Chocolate Fleva aka Rais wa Masharobaro leo mchana aliibuka mjengoni Clouds FM kwenye kipindi cha XXL na kusema kuwa kuna watu watatu wanaomtishia maisha na amewachukulia RB yao. Watu hao aliowataja kwa jina la Diamond aka Rais Wa WasafiShetta pamoja na Meneja wa Shetta anaitwa Shabaha.

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!