Posted on 28 April 2011
Hii ilikuwa ni interview iliyofanyika on TAKE ONE kupitia CLOUDS TV ambapo Wema Sepetu aliongea anachokikumbuka kutoka kwa kanumba ambae aliwahi kuwa mpenzi wake. Pia aliongelea uhusiano wake wa sasa na msanii Diamond aka Raisi Wa Wasafi.
KWA HISANI YA ZAMARADIMKETEMA.BLOGSPOT.COM
tunaisubiri kwa hamu ngoma mpya hyo ya byser TILALILA coz tunataka kufahamu ujio mpya sasa wa byser baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu katika industry ya muziki huu wa bongo ladha
Ajipange zaidi, game liko tait kwa sasa
jaman FID Q ndo mpano mxima,,ireal apriciate him.
safi sana dada kwa ubunifu wako iyo nayo stageof life.
Jacquelin acha kujiuza dunia imeisha mama