
Posted on 02 May 2011
Pichani Juu na chini ni watanzania wakifurahia na kumshangilia kupitia Big Screen iliyokuwa ukumbini hapo baada ya kumwona mshiriki wa shindano la Big Brother Amplified kutoka Tanzania anayetuwakilisha Binti Machachari mcheshi aliyekuwa mtangazaji wa Kipindi cha Nirvana kinachorushwa na Kituo cha EATV Lotus alipoitangaza Tanzania vyema wakati kujieleza na Kuiuza Tanzania kwa kutaja Mlima Kilimanjaro pamoja na Kisiwa cha Zanzibar.

Kushoto ni Millard Ayo kutoka Clouds FM akiwa na Mkurugenzi wa Masoko (TFF) Jimmy Kabwe.
KWA HISANI YA WAJANJA CLUB