Posted on 07 May 2011
Bifu kati ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu na Bob Jonior a.k.a Rais wa Masharobaro sasa lafika mbele ya Sheria, Wema amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kinondoni kwa kosa la kumtukana Bob Junior.
Wema alikiri kutukana matusi hayo baada ya kuulizwa na hakimu kama mashitaka aliyosomewa ni kweli au si kweli. Kauli yake ilikuwa:- “Ni kweli nimemtukana lakini ilikuwa hasira tu,”.
Kesi itatajwa tena Mei 18 mwaka huu kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali na mshitakiwa yupo nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana.
polesana dada.wema hiyo itaisha.mimi nimerci kutoka .amercan .nilikuwanataka kukupapoletu.
mazee huyu mtoto lina mkali
pole sana wema tulia. vijana siku hiz nadhani wanaigiza mapenz ya ughaibuni has kitendo cha Diamond kumvalisha pete hadharan kwenye starehe badala kwenda kwa wazee, huo sio utamaduini wetu na Wema ujifunze kwa hilo dumisha utamaduni wako jamii itakujali na utapata mchumba wa maana.Tulia na usipende kuongea mambo yako hadhran pind upatapo hasira ona umepelekwa mahakamani kama sinema fulan wewe ni wa thamani chunga mdomo wako na utulie wanaume wa maana wapo watakuoa. pole kwa matatizo Wema
Tulia dada yangu wema wewe ni binti mzuri sana achana na vijana masharobaro tafuta hata mtu wa makamo akuoe na utatuliza moyo wako, hao vijana eti masupa star walivyo na tabia chafu , mwangalie mashoga zako walivyoachwa na wale wanaojiita masharoibaro
Wema wewe ni binti mrembo sana,i dont know if ma heart iz telling me ukweli…nahis kwa diamond uliamua kutulia japokuwa yeye aliamua kukutenda…am sure u gona get a nice husband who will take gud care of u na akakuthamini…i wish i could cu physically ns kisha nkaongea na wewe vizuri…I hate what Diamond did to u…!
wema just take care cause
u can never run bongo entertainment
don’t you seen the girls who beauty
than you so focus for what you do
and pop to your
come on guys
Wasanii wa bongo inabidi m2lie mfanye mambo ya maana ckendo za kila cku haziwanufaishi chochote