
Posted on 12 May 2011
Msanii Baby Madaha anatarajia kufinga ndoa hivi karibuni. Jina la anayemuowa bado halijapatikana ila inasemekana anaolewa na mtoto wa mwanasiasa maarufu hapa nchini.
“Ni kweli naolewa lakini mme mtarajiwa hataki mambo ya vyombo vya habari so ikifika muda muafaka tutatoa taarifa “ alisema Madaha baada ya kuhojiwa kwa njia ya simu