IRENE UWOYA AJIFUNGUA “BABY BOY”
13 May 2011

Posted on 13 May 2011

Msanii nguli katika tasnia ya filamu Bongo, Irene Uwoya, alfajiri ya Mei 8, mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume katika Hospitali ya Regency iliyopo Upanga jijini Dar es Salaam.

Irene alifunga ndoa mwaka 2008 na mchezaji wa soka la kulipwa nchini cyprusHamad Ndikumana katika Kanisa la Mtakatifu Joseph, aliwahi kutoa kilio cha kusaka mtoto alipohojiwa na Mtangazaji Zamaradi Mketema wa Kipindi cha Take-One kinachorushwa na Clouds TV.

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

20 Comments

  1. chanza says:

    i like to congatuate to irine uwoya 4get a baby boby,hongera sana na mungu akukuzie mwanao inshaallah.

  2. GETRUDA says:

    HONGERA, sana dada hiyo ni hatua kubwa katika maisha.

  3. GETRUDA says:

    hongera dada hiyo ni hatua kubwa

  4. an says:

    Congratz irene.

  5. LINAH says:

    Ongera sana dada irene kwa kupata BABY BOY.
    Kiukweli tunakukubali kwenye filam unazocheza uko juu ile mbaya

  6. husna uwimana says:

    mimi napendaga sana filamzenyu naingekuwa vizuri nikaziona

  7. EDDIE says:

    congrats irene…just be a gud mother always..!!

  8. ISAYA JOHN says:

    CONGRAGULATION MA SISTER.YOU ARE NOW A MOTHER TAKE CARE OF UA BABY.PLZ SEND TO ME SMC IF IZS TRUE.

  9. Agnes Almasy says:

    hongera jamani,,,,,,,,,,, ni hatua nzuri hiyo dada, BE A GOOD MOTHER.

  10. vivica says:

    ya gud jamany i lyk uuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  11. HAPPY says:

    Hongera sana dada umeonyesha mfano bora wa kuigwa na wasanii wengine, kwanza kiuwigizaji upu juu sana. Pili unajipenda Tatu, unatumisha mila kwa kufuata utaratibu wa Kitanzania.Ubarikiwe sana dada yangu kwa hilo.

  12. Stellah says:

    waoooh!hongera ma dada,i like ur life style,be gud with yo son.

  13. salma says:

    nampenda mtoto wako na wewe pia jamani. nawapenda sana

  14. ma amorcito says:

    i appriciate u irene.keep it up

  15. husnah msangi.. says:

    nkpnd xn irene….n nkuombea kwa mngu mpngo yko yote ya maisha yaende sawa..lov u alt momy..

  16. Faty hassan says:

    Mmmmmmh sioni ni neno gani unalostshili zaidi ya hooooooooongera saana Mungu amkuze BABY KRISH.

  17. warda ally says:

    Nakupenda sn irene na inshaallah allah atakupa kila la kheri katika maisha yko

  18. emmy urio says:

    kiukweli upo juu sana kuliko wenzako jitahidi na be care fuully maana wasanii wengine wakishajiona wapo juu basi wanadharau kazi zao kuwa makini nao sana na epuka marafiki wanafiki wengine hawapendi maendeleo ya mtu .So kuwa makini na kazi yako na ndoa yako pia mungu akubariki dada angu

  19. CLEMENTINA says:

    Big up kwa Erene

  20. CLEMENTINA says:

    Irene anakubalika sehemu zote c kwa mavazi, uzuri, uingizaji na ushauri pia


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!