Posted on 19 May 2011
Katika movie hii msanii Kajala ndiye anayecheza kama mpenzi wa Ramsey hivyo wasanii wengi location wamempa jina jina la Genevieve kutokana na kwamba Ramsey Nigeria movie nyingi hucheza na Genevieve Nnaji.
KWA HISANI YA KANUMBA THE GREAT
I LOVE BONGO MOVIES BUT WITH THIS OF DEVIL KINGDOM, IS VERY HOT AND ALL SCENES ARE VERY VERY HOT.
Hivi kwanini wasanii wanashindwa kutetea wenzao wakiwa kwenye matatizo?