JACKLINE WOLPER NA MUVI YA “GOD IS GREAT”…!!
03 June 2011

Posted on 03 June 2011

MUIGIZAJI mahiri wa filamu kwa hapa nchini Jackline Wolper (pichani) yupo Jijini Mbeya katika kurekodi filamu kali na ya kusisimua inayojulikana kwa jina la “God is Great” kutoka kampuni ya utayarishaji wa filamu mkoani humo ya Mbeya Film Production, Jack akiwa na wasanii wengine kutoka jijini Dar es Salaam tayari ameshafanikiwa kurekodi baadhi ya scene za filamu hiyo na kuikubali hadithi hiyo jinsi ilivyotungwa. Jackline ansema kuwa kila atakayeiona filamu hiyo lazima amkubali kwani ameicheza vizuri sana.

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

11 Comments

  1. makirina mrina says:

    kwa kweli katika muvi hii katika mavazi amejitahidi

  2. makirina mrina says:

    you are doing great thing

  3. Paschal seleli says:

    Namkubal ile mbaya wolper,naamin ngoma itatsha.

  4. josephina says:

    Nakukubali kinoma unatisha dada

  5. iemalameck says:

    AISEEE WE NI MKALI

  6. MERCYROY says:

    NAKUZIMIA DADA WE NINOMA

  7. kelvin says:

    duuuu………..we acha.

  8. hellen says:

    am hongera we nimkali cku zote unatisha ile mbaya mungu akusidie ufike unapotaka

  9. princess soy geophrey says:

    hellow my mumy umetokelezea ile mbaya i like it,but sorry mumy naomba nitumie namba yako na mi nina kipaji cha kuigiza mi namba yangu 0714935923

  10. sebby says:

    aisieee! nakupa big up xana bibie we mkal

  11. FILM FAIR TV SHOW says:

    Wale wapenzi wa filamu kaeni mkao wa kula kuna bonge la TV SHOW, KIPO JIKONI jina FILM FAIR TV SHOW Kwa maelezo zaidi LIKE PAGE na uanze kudondosha COMMENT zako juu ya nini kifanyike ili kukuza tathininia ya filamu TZ Kwa pande zote mbili za MOVIES na MUSIC VIDEO ,like na comment sasa kama wewe ni mdau wa kweli wa filamu


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!