UZINDUZI WA FILAMU YA CHUMO @ MOVENPICK…!!
04 June 2011

Posted on 04 June 2011

Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa Filamu ya CHUMO, Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dr. Haji Mponda akitoa hotuba ya uzinduzi wa Filamu hiyo inayoelezea athari za ugonjwa wa Malaria,Uzinduzi huo umefanyika usiku huu katika hoteli ya Movenpick jijini Dar.



Mtengenezaji Kiongozi wa Filamu hiyo, Jordan Riber



Stelingi wa Filamu hiyo, Jokate Mwegelo akizungumza na waandishi wa habari namna alivyoweza kufikisha ujumbe kwa jamii juu ya ugonjwa Malaria





HABARI/PICHA NA MCHUZI BLOG

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!