PHOTOS: FAINALI ZA KIMWANA WA TWANGA PEPETA 2011 ZAFANA, MARY KHAMIS ANYAKUA TAJI..
09 July 2011

Posted on 09 July 2011



Majaji wakiwa mezani pao wakati wa fainali za kucheza za Kimwana wa Twanga Pepeta 2011 katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es salaam. Mshindi alikuwa Mary Khamis, wa pili alikuwa Laila Mshana wa tatu walikuwa Hawa Miraji na wa nne Mariam Mwakyoma



Wanenguaji wa Twanga wakipumzika baada ya kupepeta



Jaji mkuu wa mpambano huo Papaa Amos Msanjila (shoto) na jopo lake



Mary Khamis akitupa karata yake ya mwisho jukwaani kabla ya kutangazwa kuwa mshindi



Mariam Mwakyoma akipepeta juu ya meza



Mariam Mwakyoma akipepeta mbele ya majaji



Walioingia tano bora



Sehemu ya umati ulioshuhudia



Asha Baraka akimpa kidali po Sauda Simba



Mary Khamis akiwa na washindi wa pili na wa tatu, Laila Mshana (shoto) na Hawa Miraji

Picha Zote na Ankal Michuzi

Tags , , , ,
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

2 Comments

  1. yusuf ally says:

    kimwana manywele yuko poa.

  2. matonya msanjil says:

    Jamani kuonyesha hiyo mititi nje ndiyo nini,mambo yaliyokuwa hayana maana zamani eti siku hizi ndo yana maana ili mradi shetani amridhise kila mtu, mititi mikubwa eti siku hizi ni fashion,ama kweli watu wameoza japo kwa nje wanang’aa ,jamani mwogopeni Mungu. by Matonya msanjila


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!