
Posted on 19 July 2011
BENDI ya Extra Bongo kwa mara nyingine tena imeibomoa The African Stars ‘Twanga Pepeta’ baada ya kumnyakua mnenguaji wake mahiri Aisha Madinda, ambapo mkurugenzi wa Extra Bongo, Ali Choki alimtambulisha Madinda kwa waandishi wa Habari.
Choki alisema Madinda amejiunga na Extra kwa matakwa yake mwenyewe , na tayari ameshaanza mazoezi na bendi hiyo wiki mbili zilizopita.
Habari na Mama Pipiro