
Posted on 20 July 2011

Mwenyekiti wa Chama cha Wanamuziki Tanzania (Tanzania Flava Unit), Mwana FA (katikati) akizungumza na waandishi wa habari juu ya uzinduzi wa video yao mpya inayohusiana na sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania, mkutano huu ulifanyika Leaders Club jijini Dar. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Hicho, TID, na kushoto ni Mjumbe wa Chama hicho, Keysher.

Msemaji Mkuu wa Tanzania Flava Unit, Said Fella akiwatambulisha viongozi waandamini wa chama hicho.

Wasanii pamoja na waandishi wa habari wakiiangalia video hiyo.
Source: Michuzi