Posted on 07 December 2011
Hii ni utengenezaji wa video mpya inayokuja ya msanii wa bongo fleva Diamond Plantinum wimbo unaojulikana kwa jina la Mawazo. Location hizi unazoziona kwenye picha ni maeneo ya Mbezi Beach huku akiwa anauza sura na gari aina ya Mercedes Benz SL500. Video imefanywa na Visual Lab Dir akiwa ni Adam Juma.



Video and Image Credit: DJ CHOKA
high standards ………….keep up the swag.
Diamond kwa ukweli naipenda sana musik ye unaimba.Big up man.Paul,zambia
Mia mia ndgu diamond huo ndio usani cku zote ucmzalau mdeja anaekuweka mjin habari ndio hiyo utakuwa umeelewa.
diamond anauza sura hana lolote.
kaka kaza buti madem awana mana pacha wko hapa
kaka kiukweli unajitahidi ila jaribu hata kubadilisha muondoko kidogo kuliko hata watu kukukariri kuwa we miondoko yako ni ya aina flan tu na kwamba bila ivo hauwezi tofauti na hapo. mi ndo hilo tu.
oya big up mtoto wa mjini ila acana na awomademu tafuta mtot ambaye katuliya
i real appreciate u diamond,ur real talented dia 1.yan kaz zak haubahatishi hata 1 day.i real love ur songz.big up!1 lv
i lyk the yo music,u rock 4sure…..kip t up
i lyk yo music,u rock 4sure…..kip t up
MUZIKI WAKO HAUNA MAANA, NENDA KAWE STEDISHOO WA BAIKOKO TANGA,…..
bhana ww jembe no 1lyk u ktk iyo tasnia bhana tisha mbaya
Yo Diamond I luv all of ur music n u gotta a cute voice 4sure 4sure u were born to sing dammm keep up tht talent bro.Enjoy ur life. And thank god for the talent he gave u cuz u are awesome mshukuru mungu kwa kupa hayo maisha tht u r livin and most of all enjoy ur life