Posted on 10 April 2012
BAADA ya kutokea kwa kifo cha kinara wa filamu Tanzania Steven Kanumba, malkia wa skendo Wema Sepetu, amekaliliwa akisema kuwa tayari walikuwa na mpango wa kurudiana kimapenzi na Kanumba kwani siku mbili nyuma kabla ya kifo chake walikuwa tayari wameanza kuwasiliana.
Wema alitoa kauli hiyo pindi alipokuwa akizungumza na waandishi mbalimbali wa habari nyumbani kwa marehemu Vatican Sinza.
“Yani Kanumba ni mtu ambaye alinitoa katika tasnia hii ya filamu, na tayari tulikuwa tumeanza kuzungumza juu ya kurudiana katika mahusino yetu yani sijui niseme nini naumia jamani,” alisema huku akitokwa na machozi pamoja na kwikwi.
Na Laurent Samatta
that is amaizing!!!!
jaman 2sali xana kwa mungu
we usijali mungu atakupa hafueni girl
Daaaa…..!!! pole sn ccter wema haikua bahat yak 2najua ulmpenda nac 2lmpenda pia ila mwenyez mungu amempenda zaid na 2namombea kwa baba akaisha mahal penye utakatfu eemeenn……
POLE WEMA
Ooh pole sana wema bt dnt wory cz utapata mwngn bt kaa ukijua kua mlipendeza ile mbaya bt ndo ivyo tena imeshatokea
tujiandae kwa mwenyezi mungu ni marejeo.kifo chakuja ghafla hamna akitambuaye.
ikiwa me mshabiki wa film za Kunumba, nimepata mshtoko!
vp Sis Wema ambae alikuwa akitarajia kurudiana nae?
inauma sn!
pole my sis Wema.
Wema sijakuelewa kurudiana mfunge ndoa au” napia una wangapi Diamond utampleka wapi siutumie matango kuliko kuwapanga wanaume wengi hivyo
MAY YOUR SOUL REST IN PEACE
Wema mbona nawewe ni kigeugeu aueleweki yaani upo upo 2.
ndugu jalibu kutulia sana utapata mtu mbora kuliko kurukaruka hata Mungu apendi
Wema Sepetu hey l am going to meet you one day
llive australia