PHOTOS: DIAMOND ALIVYOWEKA HISTORIA DAR LIVE…!!
01 May 2012

Posted on 01 May 2012

Hapa Diamond akiwa Terminal 1 tayari kwa kupanda chopper



Diamond Platnum akiwa na Rubani wake wakielekea kwenye chopper.



Akitoa saluti kabla ya kupasua anga.



Hapa akipiga sala kabla ya chopper kunyanyua.



Kiota cha burudani cha DarLive kwamuonekano wa juu, maelfu ya mashabiki wakishubiri raisi wa wasafi atue.



Hapa akipagawisha mashabiki na wireless mic kabla ya kutua.



Mzuka wa mashabiki.



Mashabiki wakisubiria atue chini.



Mashabiki.



Hapa akitoa saluti kwa rubani wake baada  ya kutua.



Diamond akisalimia mashabiki



Mashabiki wakiwa na mzuka.



DarLive ikiwa full



Diamond Platnumz akiwa kwa stage



Akiendelea kutoa burudani



Pamoja na mvua kunyesha, mzuka uko palepale.



Picha Zote na Global Publishers

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

5 Comments

  1. dorice says:

    upo juu diamond keep it up

  2. klee raja says:

    wow man it’s full mzuka

  3. onesmo alex says:

    haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa dimond nommmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaa

  4. maryam says:

    yaaan daaaaaah dia……mond u rock ile mbayaa……….!!!!!!!!!

  5. elibariki ezekiel says:

    Dar live ni funika bovu,ila dimond ni nooma sana na yupo juu!


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!