
Posted on 05 May 2012
Redds Miss Ustawi wa Jamii 2012, Hilda Edward katikakati(pichani) akipunga mikono baada ya kutwaa taji hilo usiku wa kuamkia leo katika Shindano kali lililofanyika katika Ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam, akiwa pamoja na Mshindi wa Pili na watatu wa shindano hilo Nancy Wiliam na Ndenisia Mbowe. Washindi hawa wataungana na washindi wa vyuo vingine katika Fainali za Redds vyuo vya elimu ya juu baade mwaka huu na kupata mshindi atakae wakilisha wasomi hao Fainali za Redds Miss Tanzania 2012