WAKAMERUNI 5,000 WAISHIO STUTTGART, UJERUMANI KUVAANA USO KWA USO NA FFU WA NGOMA AFRICA BAND…!!
18 May 2012

Posted on 18 May 2012

Wakameruni wapatao zaidi ya 5,000 waishio nchini ujerumani wanatalajia kujimwaga kujirusha na muziki wa dansi wa Ngoma Africa Band huko mjini Stuttgart, Ujerumani siku ya jumamosi 20 Mei 2012, katika sherehe maalum ya nchi yao “Cameroon Challenge” . Kamati ya maandalizi ya jumuhia ya wakameruni nchini Ujerumani imetoa mwaliko kwa bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band almaarufu FFU, kutumbuiza katika sherehe hizo zitakazo fanyika mjini Stuttgart, nchini Ujerumani, ambako zitahudhuriwa na wakameruni 5000 pamoja na wageni wa mataifa mbali mbali.

Mzimu huo wa dansi Ngoma Africa band aka FFU unatarajiwa kutoa burudani ya kuwapandisha mzuka wadau wote watakao jimwaga uwanjani, Ngoma Africa band sasa wanatamba na wimbo mpya “Uhuru wa Habari” sikiliza @ www.ngoma-africa.com

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!