SHINDANO LA BSS MWAKA HUU LITAJULIKANA KAMA “EPIQ BONGO STAR SEARCH 2012”…!!
20 May 2012

Posted on 20 May 2012

Makamu wa Rais wa Kampuni ya Etisalat, Ahmed Mokhles akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kampuni yao kudhamini shindano la kusaka vipaji la Bongo Star Search, kulia kwake ni mkurugenzi wa kampuni ya Benchmark Productions, Rita Poulsen.

Shindano la BSS mwaka huu litajulikana kama ‘Epiq Bongo Star Search 2012’ ambapo mshindi atajinyakulia kitita cha shilingi milioni 50, pamoja na zawadi nyingine kutoka Zantel, sambamba na mkataba wa kurekodi ili aweze kuendeleza kipaji chake baada ya shindano hilo. Aidha, mchakato wa mwaka huu utakaoanza mwezi June, utawahusisha washiriki kutoka  mikoa nane tofauti ikiwemo Lindi Zanzibar , Mbeya, Mwanza, Arusha, Tanga, Dodoma na Dar es Salaam.

Tags ,
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

One Response

  1. christine protas says:

    bongo star search ya dar inafanyika lini na ukitaka kujiunga unafanyaje?


LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!