Posted on 24 May 2012
Mkali wa bongo flava, Naseeb Abdul Alhaarufu kama ‘Diamond Platinumz’ anatarajiwa kudondosha shoo pande za SA wakati baadhi ya washiriki wa Big Brother Star Game watakapokuwa wakitolewa kwenye mashindano hayo, siku ya Jumapili Mei 27 mwaka huu.
God bless!