
Posted on 26 May 2012
Mshindi wa Redd’s Miss IFM 2012, Fina Revocatus (katikati) akiwa na Mshindi wa Pili, Jane Augustino (kushoto) na wa Tatu Theresia Issaya muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano lao hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye ukumbi wa Hoteli ya Blue Peal, Ubungo Jijini Dar.

Hii ndio top 5.

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva, Diamond akifanya vitu vyake wakati wa onyesho hilo la urembo.
Photo Credit: Michuzi