
Posted on 02 June 2012
Mshindi wa Redd’s Miss Tabata 2012, Noela Michael (katikati) akiwa pamoja na mshindi wa pili, Diana Simon (kushoto) na wa tatu, Wilhemina Mvungi (kulia) muda mfupi baada ya kumalizika kwa kinyang’anyiro hicho, kwenye ukumbi wa Da’ West Park, Tabata jijini Dar.

Mshindi (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na washindi wengine wa tano baada ya kumalizika kwa kinyang’anyiro hicho.

Kumi bora

Washiriki wote wakipita kwenye stage

Vazi la ubunifu

Vazi la ufukweni

Burudani kutoka wa warembo

Burudani kutoka kwa Isha Mashauzi.

Meza ya majaji

Miss Tanzania 2011/12, Salha Israel akiwa pamoja na Jeniffer Kalokola mshindi wa tano wa Miss Tanzania 2011/12.

Watu waliofurika kushuhudia mpambano. (Image Credit: Mtaa kwa mtaa Blog)