“BILA MILIONI 3 SIFANYI SHOO” – SHILOLE…!!
02 July 2012

Posted on 02 July 2012

MSANII anayetesa ndani ya bongo fleva kwa sasa Zena Muhamed ‘Shilole’, ameweka wazi kuwa hawezi kupiga shoo kwa dau ambalo ni chini mil 3.

Kauli ya msanii hiyo anatesa na nyimbo zake kama Dume dada”, “Nyumba za kupaga”, imekuja mara baada ya DarTalk nafanya naye mahojiano yalitaka kujua anamipango gani ya kuboresha shoo zake.

“Mimi ni msanii mkubwa na ambaye anadhani kuwa nafanya shoo kwa dau dogo imekula kwake anayetaka kunichukua lazima ajipange,” alidai.

Hata hivyo Shilole aliongeza kuwa mwaka huu amepanga kufanya mziki wake kimataifa kwani anaamini anawapenzi wengi nje ya nchi ambao wanapenda sana aina ya mziki anaofanya.

Tags
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!