Posted on 20 July 2012
BAADA ya kuandamwa na skendo kibao za kutoka na vigogo kisura wa video za wasanii wa bongo, Agnes Gerald maarufu kama Agnes Masogange, ameonekana kwenye mkanda wa picha ya ngono ambao umesambaa mtaani huku ikiwa dili kwa watu wanaotaka kuona umbo la mwanadada huyo.
Mkanda huo unaomuonesha mwanadada huyo akiwa mtupu, huku utata mkubwa ukizunguka kujua ni kitu gani kilichosababisha hadi kusambazwa kwa video hiyo.

Agnes katika pozi
Mtandao wa DarTalk, ulifanikiwa kupata video hiyo ambayo mwanadada huyo ameonekana na kijana mmoja ambaye bado hajafahamika jina lake. Baadhi ya videos za bongo flava ambazo amewahi kuong’aa ni pamoja na ‘Magube gube’ ya Barnaba , Masogange ya Belle9 na nyingine nyingi.
Baada ya kupatatikana kwa video hiyo mtandao huu ulijaribu kumsaka Agnes ili kufafanua uwepo wake ndani ya video hiyo lakini hakuweza kupatikana kwenye simu yake ya mkononi.
Na Laurent Samatta
Uzuri wa kitu anao m2 na upuuzi wake uko pembeni yake.Agnes jaribu kuwa muadilifu kwa utamadun wa kiafrica coz uzungu unakualibia.
amepigapicha hizo kwathumunilakujenga au kubomoa.
SIO MBAYA KWAN CHA AJABU KIPI
MHHHHHHHHHHHHHH KWELI DUNIA IMEKALIBIA MWISHO
Tatizo wanadada wanahic tukiona shape zao ndo tutavutiwa kuoa,c kweli.jiheshimuni
Kwa nin serikali isiwachukulie hatua wasichana wa namna hiyo?
hiki ni kitendo cha uzalilishaji wa mwanamke,na hifai kuigwa katika jamii
Hv kweli wazazi wake atawaweka ktk dunia gani maana hii fedhea inaenda kwa wazazi wake siyo yeyeee!! tujiheshemu hii ndio dunia.
Kwel ukubwa sio mwili ni akili 2,we mwenzetu unazamchina fulu kuiga
Huyu c wa kulaumiwa kwan tatzo umackin na hana malez bora ya kimaadil
Utaweka wapi sura yako kwa jinsi ulivyoumbuka??!kila unapopita ni sawa na uko uchi hujavaa nguo!sijui ni pombe ndizo zilizokutuma kufanya huo upuuzi au ni maamuzi yako binafsi!akili ni nywele kila mtu ana zake,nahisi mwanamke mwenzangu we umenyoa upara!
Uwo sio utamadun!
tatizo nchi zetu hazifuati dini kamili kudhibiti uc hafu kama huuu
Super star kujizalilisha ni aibu tupu unaifundisha nini jamii.
thamani yako imekwisha. yaani namaanisha unathamni tena
Dah fanya mpango uiuze cd yako labda utatoka ka kim
tanzania bila kuiga haiwezekani na wabongo wanaiga wasifiwe kumbe ndo wanajiharibia sifa yao PAMBAFU
wanatafta njia ya ktokea bt sio hyo wanayotaka kptia….
kizuri chajiuza kibaya chajitembeza
MUNGU amsamehe na asirudie tena “hakuna mtu mkamilifu” nawashauri madada wa kibongo muache makuu,dharau Na Usanii ndipo mtakapoonyeshwa upendo wa kweli
selikali nayo imependa kuwepo kwa tabia hiyo.
Wa2 wamemkubal ndo maana kajiachia!
jarbu kubadirka dada angu co vzuri mumy
pga kazi mdada, hadi kieleweke…
Huo ni upotovo wa nithamu