Posted on 18 September 2012




Msanii wa filamu nchini Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiwa makakamani katika mahakama ya rufani, jana baada ya kusikilizwa kwa maombi ya upande wa jamhuri ya kuomba kupitiwa kwa uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar Es Salaam wa kukubali kufanyia uchunguzi umri wa msanii huyo.
aisee wolper unapoteza ileile
Pole sana Lulu,ila mungu atakusaidia tu, usijali utaotoka tu.
POLE SANA MDOGO WANGU ILA VUMILIA KILA KITU KITAKWISHA, MUOMBE MUNGU ATAKUSAIDIA.
POLE SANA MDOGO WANGU UTATOKA MUNGU YUPO PAMOJA NA WEWE
Chochote ohenye mwanzo kina mwisho pole sana mungu atakusaidia
mmh inasikitisha sana kwa lulu kufifka alipofika leo
duh…..! inasikitisha sana kwani kifo huwa ni mipango ya mungu lulu aachiwe huru jamani’
Tusahau yote yalo pita.
Upo kwenye maombi yangu!
Jamani wanachunguza umri wake kwani ni kilomita ngapi kutoka kisutu hadi kwenye ofisi ya vifo na vizazi huko muhimbili? tz kweli hakuna sheria.
Naona ajbu sana lulu ambaye wanamuita ati ni muuaji wanamuonyesha hadharani mahakamani lakini Askari aliyemuua ndugu D Mwangosi kwa makusudi anafichwa uso na kuingizwa mahakamani kisirisiri loooh dhulma gani hiyo.
AM XO XORRY MY THATS IS LYF BUT GODS BE WITH U ONE DAY YES
POLE SANA, BUT NDO MAISHA HAINA MMOJA M2 YEYOTE YANAWEZA KUMTOKEA.
wory out hayo yote maisha! mamy