PICHA ZA ‘NEY WA MITEGO’ NA ‘NISHA’ WAKIWA FARAGHA ZAFUMWA MTANDAONI…!!
19 November 2012

Posted on 19 November 2012

Picha za msanii wa Bongo flava Ney Wa Mitego mwenye maneno ya shombo kwa wasanii wenzake kuhusu ukahaba wa wasanii wa bongo movie zimenaswa mtandaoni akiwa amepozi kimahaba na msanii wa bongo movie Nisha.





Ney ameonaka kama mtu ambae anafichua maovu mengi ya tabia za ukahaba wa wasanii wa tasnia ya filamu angalia yeye ndiye mteja mkuu wa makahaba hao kwa mujibu wa kauli yake kuwa makahaba wenye viwango wako bongo movie.

Ney na Nisha wamewahi kukanusha mara kadhaa kuhusu uhusiano wao na leo mambo yamekuwa hadharani.

Tags ,
< PREVIOUS POST
NEXT POST >
Most Read News

LEAVE A COMMENT

NOTE: To comment it is better that you have a gravatar account.
You can get a free gravatar account by clicking here.








SEARCH DARTALK

Copyright © 2011. DarTalk.com . All Rights Reserved. Site by NEXUS  |   BACK TO TOP!