Posted on 08 March 2013
Kila ijumaa ni siku ya shangwe, wadau wote wala bata mnakaribishwa usiku wa Beat down . Kutana na mandhari nzuri kwenye lounge ya kisasa na wajanja wa town Tujichanganye huku( dj bike wa radio one ) akisababisha na ngoma za ukweli.
Kiingilio ni elfu kumi (10,000) tu.
Tunaanza ile mida yetu ya saa 3 mpaka asubuhi.
tuko mtaa wa zambia na mkwawa . Kata kushoto baada ya kcb bank, nenda hadi Zambia ambayo ni kona ya pili kushoto alafu kata kulia mtaa wa mkwawa na Utatuona nyumba ya 5 kulia. Basi hiyo ndio maskani ya wajanja wa town. Karibuni.
Wish all the best.