Shindano la kumsaka mrembo wa Tabata, Miss Tabata 2013, litafanyika Mei 31 katika ukumbi wa Da’ West Park, Tabata.
Mratibu wa shindano hilo Joseph Kapinga amesema kuwa shindano hilo litakuwa ni ya aina yake kulinganisha na mashindano ya miaka ya nyuma kwani mwaka huu wamemejitokeza warembo wazuri zaidi.
“Warembo wazuri wamejitokeza zaidi kuliko mashindano ya tuliyowahi kuyafanya [...]
Ile Safari ya kumpata mrembo wa Miss Tanzania 2013 inaanzia na Miss Dar Indian Ocean. BHitz group Ltd inakuletea Redds Miss Dar Indian Ocean. Mashindano haya yamepangwa kufanyika jumanne, April 30 kwenye ukumbi wa National Museum, na yatashirikisha warembo 11.
Washiriki wa mwaka hu ni Lilian Samson Lungwa (19), Khadija R. Zandaro (19), Queen J. Mahwera (20), Flora Juma (20), [...]
Tanzanian supermodel Flaviana Matata has come a long way from growing up in a single parent household after her mother died in a tragic ferry boat accident. She studied electrical engineering until starting her fairytale story by winning the Miss Universe Tanzania title in 2007.
PHOTOS: “Beyond Being a Model, I aim to Be a Role Model” [...]
The search for the next Miss Tanzania is already here and underway. BHitz group in collaboration with Times FM will bring to you Redd’s Miss Dar Indian Ocean 2013 on the 30th of April at the National Museum. 15beauty contestants will compete for one of the most coveted crowns in the country that would pave [...]