Ile Safari ya kumpata mrembo wa Miss Tanzania 2013 inaanzia na Miss Dar Indian Ocean. BHitz group Ltd inakuletea Redds Miss Dar Indian Ocean. Mashindano haya yamepangwa kufanyika jumanne, April 30 kwenye ukumbi wa National Museum, na yatashirikisha warembo 11.
Washiriki wa mwaka hu ni Lilian Samson Lungwa (19), Khadija R. Zandaro (19), Queen J. Mahwera (20), Flora Juma (20), [...]
Lulu akiwa na mama yake mzazi leo walipo tembelea kaburi la marehemu Steven Kanumba ikiwa ni mwaka mmoja toka amefariki
Shada la Maua likiwekwa kaburini hapo
Wakimuombea Marehemu Steven Charles Kanumba
Mama Kanumba akisaidiwa kuweka shada la maua
Lulu akiendelea kumlilia Kanumba huku Mama Kanumba akiweka shada lake la maua kwenye kaburi la mwanae.
Lulu akiwa katika picha ya pamoja na [...]
Pichani Ben Pol, G-Nako, Lord Eyes, Nisher na Ras Omega wakiwa ndani ya Maskani ya River Camp Soldier Arusha.
G-Nako
Ben Pol
Nisher ambaye ndio director wa Video hiyo